OFA OFA OFA

KARIBU msanii chipukizi kwenye Platform yetu sasa Tukusaidie kutangaza NYIMBO yako AUDIO & VIDEO Kwa Bei nafuu kabisaa
Kwa mawasilino
+255 754 401 642, +255 621 074 694, +255715901032
Email: Joramjohnson528@gmail.com

HIGHLIGHTS

Tuesday, 12 June 2018

Christiano Ronaldo: The Greatest Soccer Player Of All Time ?????

Kama wewe ni shabiki wa mpira wa miguu, basi unajua kunakua na upinzani na ubishi kuhusu nani mwansoka mkali wa muda wote.la hasha, majina kama Pele na Diego Maradona yanakua yakitajwa pindi ubishani huu wa soka unapotokea. Pia kuna ubishani kati ya Christiano Ronaldo and Lionel Messi, kwamba ndio wanasoka bora wa kila wakati kwa sasa.

Source: menshealth.co.uk
Christiano Ronaldo ameonesha na kuthibitisha kuwa yeye anapaswa hasa kuwa mshindi katika huu ubishani wa kila siku.
Kwanza Ronaldo ameshinda Champions League title mara tatu katika miaka minne. Hii inatosha kushawishi na kuthibitisha kwamba yeye ni bora kuliko, lakini watu bado watahoji kama kweli anastahili
Chakuongeza katika hili, hapa watu wanapaswa wafikirie vitu vifuatavyo
  • Cristiano Ronaldo ameipachikia zaidi ya mabao 600  timu yake na nchi
  • Ronaldo ndiye mchezaji wa kwanza mwenye hat-tricks tatu kwenye ligi ya mabingwa ulaya  "Champions League "katika hatua ya mtoano
  • Cristiano ndiye mchezaji wa kwanza kufunga hat-tricks katika mechi zilizofuatana za Champions League hatua ya mtoano
  • Amefunga magoli mengi katika mechi za nusu fainali (12 kati ya mechi 18 ).
  • Ronaldo ndiye mchezaji mwenye magoli mengi ligi ya mabingwa ulaya " Champions League "( magoli 103).
  • pia ndiye mwenye magoli mengi ya nyumbani, ugenini, hatua ya mtoano na assists.
  • ndiye mwenye magoli mengi ya Championship League katika kila msimu katika misimu mitano iliyopita 
(By Your Daily Wiz )


The big difference between Ronaldo and Messi: Ronaldo has performed in the big games later in age. Ronaldo is 32 years old and winning championships. Messi did reach three straight finals with Argentina from 2014 to 2016, but he did not win. To be a GOAT, championships matter and that is why Cristiano Ronaldo is the best of the best in soccer.



comment yako tuachie apoo

No comments: