beki wa Kagera Sugar Juma Nyosso alijikuta akiingia matatizoni baada ya kukamatwa na Polisi kwa madai ya kumpiga shabiki na kuzimia baada ya mchezo wao dhidi ya Simba SC uliyomalizika kwa Simba kupata ushindi wa magoli 2-0.
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Kagera Augustine Ollom ameongea kuhusiana na kitendo cha mchezaji wa Kagera Sugar Juma Nyosso kumpiga shabiki anayesemekana kuwa ni wa Simba
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Kagera Augustine Ollom ameongea kuhusiana na kitendo cha mchezaji wa Kagera Sugar Juma Nyosso kumpiga shabiki anayesemekana kuwa ni wa Simba


No comments:
Post a Comment